Thursday, October 8, 2020

Namna unavyoweza Kufanikiwa Kimaisha kuanzia Chuoni Ndani ya kitabu hiki kuna Funguo za Kukusaidia wewe Mwanachuo ...Uweze kujua ni kwa Namna gani Unaweza Kufanikiwa Kimaisha kuanzia Chuoni, hata kama Umechaguliwa kwenye Chuo Usichokipenda au Kozi uliyoambiwa HAINA SOKO. Haijalishi uko Mwaka wa Kwanza, Mwaka wa Pili, Mwaka wa Tatu, Mwaka wa Nne, au Mwaka wa Tano [ikiwa unasomea Udaktari]... kitabu hiki kinakufaa sana. Haijalishi Changamoto uliyonayo. Iwe ni ya Kielimu, Kimahusiano, Kifedha, Kiroho, au Kitabia... kitabu hiki kinakufaa sana, na tena kitakupatia hatua rahisi za kukutoa hapo ulipokwama kwenda kule unakokutamani. Hiki kitabu kimeandikwa kwa ajili yako. Ukiwa unakisoma, unaweza ukadhani kulikuwa kuna Mpelelezi aliyekuwa akiyafuatilia Maisha yako na kuja kuyaweka Hadharani; kwa sababu kimesheni zaidi ya 90% ya Maswali yaliyokuwa yanakusumbua kwa muda mrefu. Kwa upande mwingine, Kitabu hiki Kitakusaidia kujua namna unavyoweza ku_balance mambo ya chuoni na mambo yako binafsi; Ili uweze kunufaika Chuoni na Mtaani. Kama Hakitakusaidia kama ulivyoahidiwa, basi una haki ya kuomba kurejeshewa Pesa yako. WAKATI NI SASA. JICHUKULIE HIKI KITABU SASA HIVI. USISEME UTAJICHUKULIA BAADAE AU KESHO. Kwa kadiri unavyopoteza Muda, ndivyo unavyojichelewesha kuyafikia Mafanikio yako yanayoanzia papo hapo ulipo. Na Kwa kadiri unavyopoteza Muda, ndivyo GHARAMA YA KITABU INAVYOPANDA. KUMBUKA: Hiki kitabu kina kurasa 127+ Zilizoshiba, na KIMEKWISHA KUWASAIDIA WATU WENGI WALIYOKUWA NA HALI MBAYA ZAIDI YAKO. ➡ Mawasiliano ya Kujipatia kitabu: 0764793105 WhatsApp. #Kumbuka: Endapo utajipatia Kitabu hiki Siku hii ya Leo, basi utapatiwa na kitabu kingine cha BURE, pamoja na USHAURI wa BURE juu Ndoto zako za kimaisha (kwa Siku Saba). Njoo WhatsApp muda huu. By LACKSON TUNGARAZA. Mwandishi wa Vitabu zaidi ya 7, Muasisi wa @lamaxdesigns, na Mkufunzi wa Waandishi wa Vitabu na Wajasiriamali Wadogo na wa Kati. @lacksontungaraza . Instagram: https://ift.tt/2I7rrI1 Facebook: https://ift.tt/3dcp1mL #Mwanachuo #LacksonTungaraza #Diary

Sunday, May 31, 2020

Je! Ni Wakati gani Sahihi wa kutoa kitabu Changu? Jifunze, kisha ULIZA ambapo hujaelewa. Usisahau ku_subscribe na Kushea hii video. https://ift.tt/2XKtw0D #write #book #LacksonTungaraza #LamaxDesigns #bookcover
Kitabu kinatakiwa kuwa na Kurasa (pages) ngapi? Jifunze, kisha ULIZA ambapo hujaelewa. Usisahau ku_subscribe na Kushea hii video. https://ift.tt/2XKtw0D

Friday, May 15, 2020

MWENYE JUKUMU LA KUTIMIZA AHADI - Lackson Tungaraza Ni nani aliye na jukumu la kutimiza AHADI? Niandikie Mawazo yako hapa kwenye Comment, nitazipitia na kuzijibu.
ACHA KUHANGAIKA - Lackson Tungaraza Kwa nini unapenda sana kuhangaika katika kupata mambo kadha wa kadha katika maisha yako ? Hivi Unajua kwamba unaweza ukavipata bila kuhangaika? Niandikie hapa chini kama Waamini au Mawazo uliyonayo juu ya hilo. Usisahau ku_Subscribe Kwenye hii Channel na kubofya alama ya kengele "Notification" ili uzidi kupata Video kwa Urahisi zaidi. Pia #SHARE hii video na wenzio. https://ift.tt/2OoTTWD
TABIA GANI INAKUTOFAUTISHA NA WENZIO? (Lackson Tungaraza) Ni tabia gani inayokutofautisha na wenzio? [Kama huna, basi una safari ndefu sana hadi Uje kufanikiwa kwenye maisha yako.] Niandikie Mawazo yako hapa kwenye Comment... nami nitakusaidia ulipokwama. Usisahau ku_Subscribe Kwenye hii Channel na kubofya alama ya kengele "Notification" ili uzidi kupata Video kwa Urahisi zaidi. Pia #SHARE hii video na wenzio. https://ift.tt/2OoTTWD
BOOM LA CHUO - Lackson Tungaraza Wewe MWANACHUO, Unalitumiaje Boom lako - Pesa unayopewa na Serikali kujikimu kimasomo uwapo Chuoni? Niandikie Mawazo yako hapa kwenye Comment... nami nitakusaidia ulipokwama. Usisahau ku_Subscribe Kwenye hii Channel na kubofya alama ya kengele "Notification" ili uzidi kupata Video kwa Urahisi zaidi. Pia #SHARE hii video na wenzio. https://ift.tt/2OoTTWD

Tuesday, March 10, 2020

HATARI YA KUSHINDANA NA WENGINE - LACKSON TUNGARAZA. Je! Unazijua hatari za kushindana na wengine? Jifunze hapa. Usisahau ku_subscribe na Kushea. https://ift.tt/2GO1hEL
ALAMA INAYOISHI - Lackson Tungaraza. Ni kwa namna gani umejipanga Kutengeneza na Kuacha Alama itakayoishi hata baada ya kufa kwako.? Jifunze hapa. Usisahau ku_subscribe na Kushea. https://ift.tt/2GO1hEL

Sunday, January 5, 2020

IJUE KWA UNDANI - KOZI MAALUMU YA UANDISHI WA VITABU Je Unajua kwamba unaweza kuwa mwandishi mzuri wa Vitabu? Sikiliza hiyo audio. Usisahau ku_Subscribe. Shea na wenzako. https://ift.tt/2GO1hEL

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI